MONTFORT SCHOOLS

Image Image Image Image

Jinsi ya kujiunga na shule yetu

Maelekezo ya kununua fomu mtandaoni

  1. Lipia TSh 25,000/= kwenye namba ifuatayo
    0685 010 334 
    Jina: JOHN MNUNGA
    Tumia namba ya simu kufanya malipo. Usiweke pesa kwa wakala wala kuhamisha toka benki.
    Ukitumia wakala / benki hatutapata namba ya simu iliyofanya malipo hivyo mifumo yetu haitaweza kushughulikia muamala wako
  2. Ndani ya muda mfupi tutakutumia ujumbe kwenye namba uliyoitumia kufanya malipo. Ujumbe huo utakuwa na token.
  3. Bonyeza Pakua fomu. Ingiza namba ya simu uliyotumia kufanya malipo.
  4. Ingiza token tuliyokutumia kwa ujumbe mfupi
  5. Ingiza majina mawili ya mwanafunzi kwenye sehemu husika
  6. Hakiki jina la mwanafunzi. Hutaweza kubadilisha baada ya hatua hii. Kama ni sawa bonyeza Hifadhi Taarifa
  7. Pakua fomu. Ichape na ufuate maelekezo yake.